technology

business

NEWS: BECKHAM ''SIJUTI MICHORO(TATTOO) YOYOTE MWILINI MWANGU''

Kwenye maisha kuna mengi binadamu upitia laasha
kila mmoja ufanya kile kimpendezacho.


David Beckham mchezaji mpira wa zamani wa
Manchester Utd,Real Madrid,Ac Milan na timu
nyinginezo ni mmoja wa viumbe hai ambao kwa njia
moja au nyingine uweza kufanya kitu bila
kujutia kutimiza lengo lake kwa njia nyingine
naweza sema ni kuonesha mapenzi ya kitu
hadi kufikia kuweka Alama mwilini mwake.
Akihojiwa na kituo cha kimataifa cha habari duniani
CNN beckham alifunguka juu ya swali
aliloulizwa ''Je kwenye maisha yako kipi unajutia
kufanya na kwenye michoro yako ilioko
mwilini mwako....Ujuti kujichora hivo??

Beckham alisema haya yafuatayo ''Ni maisha
yangu sidhani kama kuna mtu alishawahi
niambia nini cha kufanya tangu napevuka kiakili,
kila mchoro mwilini mwangu una maana
yake,siwezi fanya kitu pasipokuwa na sababu yoyote.''
Alizidi kusema ''Michoro hii inaa maana kubwa
kwenye maisha yangu uku akionesha
mchoro kwenye kifua chake wenye jina la
 mtoto wake wa kike Harper seven.

Alizidi kusema ''Mchoro wangu wa kwanza
 nilichora jina la mwanangu Romeo
nampenda sana na nawapenda wanangu
wote ndio maana majina
yao yapo mwili mwangu pamoja na mama yao''

Kwa niaba yako nikaamua kukutafutia picha kumi
 unaweza kuzicheki za michoro ya
rangi mwilini mwa staa huyo aliestaafu soka
 mwaka huu zicheki hapa.
Mchoro huu ni picha ya ''JESUS'' ndio tatto yake mpya...
Huu alichora mnamo mwaka jana mkewe Victoria Posh
 alipojifungua mtoto wao wa 4
Msalaba huu alichora kwenye mashindano ya
dunia ya kombe la dunia mwaka
2002 nchini Japan na Korea.
Mchoro huu ni wa maandishi ya namba za kirumi
ikimanisha namba 7,nambari ambayo alikuwa anitumia
alipokuwa anaichezea timu ya Manchester Utd...
Mchoro huu wa mwanamke ukiangalia kwa ukaribu
una maandishi yaliyoandikwa kwa
kiingereza yasemayo ''Til death do as apart''
pembeni ikiwa imezungushiwa
maua na picha ya mke Victoria Beckham.
Mchoro huu ukiangalia vizuri ni jina la mwanae wa 4 Harper...
Mchoro huu chini ya mchoro wa msalaba
ni jina la mwanae wa pili kuzaliwa
Romeo Cruz Beckham.
Ni tatoo yenye maandishi ya kihindi lakini maana yake ni Jina la mkewe
'VICTORIA'
Huu ndio mchoro wa kwanza kabisa wa Beckham aichora mnamo mwaka 2002
nchini Spain alipokuwa mapumzikoni na mke baada ya kujifungua,
ukiangalia vizuri ni Jina la Mwanaye wa kwanza Brooklyn.

Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

No comments :


three columns

grids

health