technology

business

PICHA:KWENYE MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU TIGO MIN KABANG BASH

Huu ulikuwa mkutano wa waandishi wa habari na kampuni ya simu
Tigo-Tanzania na wasanii kuhusu Kampeni yake ya Min Kabang.....

Tamasha hilo linalofanyika mkoani Mwanza watatumbuiza
 wasanii wengi Binafsi na mimi
mwenyewe mtoto wa kimanyema sintokosekana pale kati nikiwa
 na Team yangu nzima ya wasafi kwenda kuakikisha maajabu
yote na unyama wote kufanyika saawia...
Pembeni yangu nikiwa na wasanii wenzangu tuliokuwepo
 kwenye mkutano huo jana makaoo makuu ya Tigo.....
Show hiyo itakayofanyika ndani ya uwanja wa ccm kirumba jijini mwanza itakuwa bure
kabisa,haina kiingilio ni maalumu kwa wakazi wa mwanza na wateja wa Tigo kiujumla...
Wasanii watakao kuwepo siku hiyo ukinitoa mimi binafsi atasimama stejini
Nay wa Mitego,Madee,Rich Mavoko,Recho,Makomando,Chege & Temba na wengineo....
Kama mkazi wa Mwanza fika bila kukosa na line yako ya tigo kama aijasajiliwa
uje kusajiliwa na kujiunga na ofa kabamb kutoka tigo na n.k

Picha kadhaa tukiwa kwenye mkutano huo kuwajuza wandishi wa habari juu ya uwepo wetu
na ujio wetu siku hiyo ya tarehe 30 mwezi wa sita kwa wakazi wa Jiji la Mwanza...!!




Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

1 comment :

  1. kAZA BOOOOOT KIJANA MWANZA WALIKUONA TU GEITA NAJUA DIAMOND UNAKWENDA KUFANYA KWELI TIGO WENYEWE WATAIONA SHUGHULI YA WASAFI NAMI TAREHE 30 NITAKUWEPO MWANZA KWA AJILI TU DIAMOND CREW ITAKUWEPO PALE BASI SITAKOSA NAPENDA SANA JINSI UNAVYOIMBA PIA SAUTI.HAUNA MPINZANIIIIIIIIIIIIIIII WENYE WIVU KAZI KWAO NI MUNGU AMEKUWEKA JUUUUUU NI LAZIMA UTAENDELEA KUWA JUUUUUUUUUUU

    ReplyDelete


three columns

grids

health