technology

business

NEWS:KANYE WEST AILAUMU FAMILIA YA KARDASHIAN

Mwanamuziki na mwanamitindo Kanye waest aijia juu
na kuilamu familia ya mpenzi wake
au twaeza sema familia ya mama wa mtoto wake Kim
Kardashian kwa kuwatonya mapaparazi
siku ambayo mtoto wao alikuwa hospital kwaajili ya kucheki Afya..

Tukio ili lililotokea nchi Marekani ukiangalia picha
 hii unaweza ona Kanye akiwa na mkewe mbele na
mlezi wa mtoto wao,alicholaumu Kanye ni kwamba
paparazi walijuaje kama wangekuwepo
hospitalini muda ule kwa kuwa muda ulikuwa
umeenda sana na walifika clinic pale
pasipo kutumia magari yao ya kifahari.....'' Alizidi
kusema Kanye ''Hili ni jambo familia wanalijua
sijapendezwa nalo,kila kitu kuweka kwenye mitandao,
wanajaribu taka pata picha za mtoto
lakini muda ukifika watamuona lakini sio
kwa kutumia njia sizo kabisa''

Mnyamwezi kapanic kuona anafatiliwa sana......Mpaka
 sasa akuna ajuae duniani mtoto huyo anafananaje
kiukweli zaidi ya wazazi wa mtoto huyo na watu wa
karibu wa familia ya Kardashian
na sheria ukifika kumuona mtoto huyo uruhusiwi
kuingia chumbani kwa mtoto na simu au camera....

Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

1 comment :


three columns

grids

health