technology

business

JOKATE FAKE AKAMATWA


Mwanamume aliyekuwa akijifanya Jokate akiwa amewekwa kitimoto

Kumekuwa na tabia ya watu kutumia mitandao ya
 kijamii kutengeneza account fake wakitumia majina
 ya mastaa wakubwa na kufanyia utapeli ama
kufanya mambo ambayo kwa kiasi kikubwa yanashusha status
 ya msanii husika na zaidi inakuwa
 inawachanganya hata mashabiki wasijue kama wanawasiliana na
msanii wao halisi ama fake..lakin dunia ya sasa
 imebadirika ,ni vigumu kutenda jambo
 hususani linalohusisha mitandao na usifahamike ama
kukamatika..na mtu wa mfano ni Jamaa aliyekuwa
 akijifanya jokate  kwenye mtandao wa facebook kutapeli watu..ambapo alifanyiwa mbinu za
 kidigitali na hatimae kukamatwa
tizama picha za tukio la kukamatwa mtu huyo
Simu ikionyesha moja ya meseji alizokuwa akiwatumia watu na kuwatapeli
Akiwa kajiinamia kwa aibu ndani ya gari la polisi 

Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

No comments :


three columns

grids

health