technology

business

6JULY:HAPPY BIRTHDAY 50 CENT







Serikali ya nchi yake wanamfahamu kama
 Curts james jackson lakini tunamfahamu zaidi kama 50 Cent
 ambapo siku ya leo tarehe
 6july anatimiza miaka 38 ya kuishi duniani,kwa faida ya
 wasiomfahamu vyema ni kuwa,mchizi ni one of 
powerful American rapper kiuchumi na
 kimziki pia,mbali ya kuwa ni mwanamziki lakini pia ni
 mjasiliamali,mwekezaji na mwigizaji na movie iliyompa credit zaid ni movie
 ya Get rich or die tryin na wimbo uliomfanya mpaka leo hii watanzania
 wengi tunamfahamu ni wimbo wa IN DA CLUB alioutoa mwaka
 2000 na albamu zilizombeba zaidi ni albamu ya  na Massacre,kwa umri wake ni lazima 
atakuwa na mtoto,ana mtoto wa kiume anaeitwa
 Marquise Jackson..kwa ufupi huyu ndiye 50 Cent ambaye yumo kwenye 
list ya mastaa wa
 dunia waliowahi kupiga show Jakaya land(Tanzania)
Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

No comments :


three columns

grids

health