| Muda wa lunch ukafika.... |
| Kitu cha biriani nini nini........ |
| Then rehealsal |
| Nahisi kama mikono inaniwasha hivi...... |
| Hapa tukiteta jambo kwenye Magazine na Sultan King msanii toka Zanzibar |
| Fitna ikaanza sasa |
| Sometimes inakubidi ushuke hadi chini ili ujue uzito wa sound na shabiki zako wataokua chini sound wataipataje the tym ukiwa unaperform
|
| Then Nikapelekwa kwenye Press |

nice job,nimependa unavyotengeneza body yako japo we ni mwembamba,keep it real boy
ReplyDelete