technology

business

NOTHING WAS THE SAME YA DRAKE,KUACHIWA SEPTEMBER 24 2013

Drake,mwanamuziki mwenye asili ya canada au waeza
muita member wa Young Money,Label


inayofanya vizuri duniani kwenye kila idara
anatazamiwa kuachia Album yake mpya
hivi karibuni.
Album hiyo inayoenda kwa jina la''NOTHING WAS
THE SAME,inatarajiwa kuachiwa jijini New York
September mwaka huu.
Drake akionekana mwenye furaha alifunguka
 pia juu ya ujio wake wa Album hiyo huku
akimshukru Mwenyezi Mungu na kutoa
Ufafanuzi juu ya Cover ya Album yake,
alikuwa na haya yakusema ''Kwanza namshukru
Mungu,ananipigania kwenye kazi yangu...Ujio wa Album
hii nimejipanga zaidi kuleta mabadiliko kwenye muziki
 wa nchi yangu na kuwafumba midomo
watoto wadogo waliotukuta kwenye gemu''
Aidha alizidi kumshukru Mchoraji Kadir Nelson
toka Marekani kwa kubuni cover hiyo inayoonekana hapo juu.
''Cover imetulia,nimeipenda,imebeba ujumbe wote
 wa Album kama jian lenyewe unavyolisikia.

Ebhana eeeh hii balaa Mnyamwezi Drake
anajipanga kuachia kitu Soon so kama wewe
ni shabiki wa Drake kaa mkao wa kura,24th September mzigo kuachiwa.

Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

No comments :


three columns

grids

health