technology

business

NEWS:HUDDAH HUYO OFF TO BBA THE CHASE FINAL 2013

Huddah Monroe a.k.a Boss Lady wa kenya,
alikuwa mwakilishi wa Kenya kwenye
Big Brother mwaka huu lakini bahati aikuwa
kwake mapema aling'atuka kwenye
Jumba ilo.....
Juzi kati alipost kwenye mtandao wake wa Twitter
 kuwajuza mashabiki zake kuwa atokuwepo
kwenye finali za Big Brother mwaka huu kutokana
 na majukumu na mambo kuingiliana
hadi kufikia kushindwa kuyatatua kwa
 muda muafaka so atokuwepo.....
Kilichojiri hapo ni mashabiki zake kuanza
kulalama kiasi kwamba wengine kutukana,

Lakini Suprise iliyoje....??? Huddah majira ya usiku
 wa jana Ali tweet kwenye mtandao wake
wa Twitter na kuandika yupo Airport kuelekea
 Nchini S.A kwenye Finali hizo
zinazofanyika siku ya leo.

Inavyoonekana Boss Lady huyu ameshatatua
matatizo yake sasa yupo njiani kuelekea
nchini S.A lakini kwa upade mwingine naweza
sema labda Huddah alikuwa anatingisha
kiberiti kuona umuhimu wake kwa mashabiki zake.........

Tusubiri tujione kitakachojiri kwenye Finali hizo nchini South Africa.



Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

No comments :


three columns

grids

health