technology

business

NEWS:AVRIL KUACHIA VIDEO YAKE MPYA HIVI KARIBUNI....

Avril,Msanii wa kike anaefanya vizuri kwenye

 muziki wa kenya kwa sasa.Avril anatamba na kibao 
chake kipya kinachoenda kwa jina la ''SUMU YA PENZI'' 
yupo kwenye hatua za mwisho kuachia video ya wimbo huo
 muda wowote kuanzia sasa huku kichupa hiko 
kikiwa kimesimamiwa na Production nguli ya video
East africa na afrika kiujumla OGOPA VIDEOZ .....Icheki
 video hii kuona kile kinachoandaliwa kwa sasa 
na mwanadada Avril.
Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

No comments :


three columns

grids

health