technology

business

NEWS:FEZA KESSY AONANA NA O'NEAL NCHINI SOUTH AFRICA

Yatupasa kujiuliza baada ya kuangalia picha hii,baada
ya kutolewa ndani ya mjengo wa Big Brother 
the Chase 2013 hiki ndicho alichokifanya
mwakilishi wa Tanzania,Fezza kessy.

Mwanadada huyo anaeimba na kujishugulisha na sanaa
baada ya kutolewa alitimba jijini nchini
South na kufanya ngoma moja ndani ya studio nguli
nchini humo japokuwa akuweka bayana
na wala ngoma aliyokua anaipika lakini kikubwa hapa
ni kukutana na yule mshiriki wa Botswana
Oneal......hakuna ajuae kinachoendelea lakini nimeamua
 kukuwekea picha hii uweze kuona alafu tujiulize
tu.....Watu hawa wawili walikuwa wamependana kiundani
kabisa kiasi kwamba kutafutana...?
Je mkaka Oneal atakuja kudondosha mawe kwa
familia ya Kessy achukue Jiko...?

Ni maswali ya kujiuliza but majibu watatupatia wenyewe,
wewe na mimi tukae tusubirie..
Usikose kupitia Blogsite yako hii kupata updates za
michezo,sanaa,burudani na kimataifa.

Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

No comments :


three columns

grids

health