technology

business

NEWS:DAVIDO KUANZA KUJENGA SHULE KUSAIDIA JAMII NCHINI NIGERIA

Imekuwa kawaida kwa wanamuziki wengi duniani baada
 ya mafanikio kwenye muziki ukaa chini


na kurudisha shukrani kwa mashabiki zao kutokana
 na wao kununua kazi zao na kuwafanya
wafike hapo walipo kiuchumi na hata kimaendeleo pia...

Hali hii pia imetokea kwa mwanamuziko toka Nigeria
anaefahamika kama Davido,siku ya jana aliweka
bayana kwenye mtandao wake wa kijamii kuwa
ana mategemeo ya kujenga shule na yupo kwenye mikakati
bado ya kununua ardhi ili aweze kuanza utaratibu huo.....
Na alizidi weka wazi kuwa ataanzia kwenye jimbo
la Osun nchini Nigeria na kuzidi kusogea
kwenye miji mingine kutimiza azma yake ya
kujenga shule kwaajili ya jamii.......

Inavyoonekana jamaa ana mpunga mrefu sana na
ana moyo wa kusaidia,inapendeza sana kwa kikubwa
au kidogo ulichonacho kugawana na wasiojiweza,
Mungu azidi kumbariki Davido....

Unaweza kucheki chini hapa kuona kile nachokuambia
 pale msanii huyu alipo tweet kwenye mtandao wake
huo wa kijamii.....


Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

No comments :


three columns

grids

health