technology

business

NEWS:CHRIS BROWN AZIDI KUANDAMWA NA MIKOSI

Juzi kati baada ya kukutwa na maswahibu ya kuendesha
gari uku amelewa jana ripoti
ya polisi imekamilika baada ya upelelezi kukamilika
 baada ya mtu mmoja kumfungulia mashitaka
msanii huyu na watu wake baada ya kusema alifanyiwa
 fujo na wafuasi wa Chris Brown na kupigwa
kisha brown kurudi studio.
Tukio ili lilitokea mwanzoni mwa mwaka huu lakini
apakuwa na ushaidi wowote wa kumtia nguvuni lakini
baada ya ripoti kukamilika toka kwa LOS ANGELS
POLICE DEPARTURE kukamilisha
upepelezi umemtumia Msanii huyu barua kuwa
ndani ya Tarehe 24 mwezi wa 8
Chris Brown anahitajika fika mahakamani kujibu tuhuma hizi...

Kama Brown atakutwa na hatia kwenye mashtaka
haya anaweza kwenda jela zaidi ya miaka
miwili na kumlipa fidia na kuwezesha polisi kumtia
nguvuni alimsahambulia jamaa huyo
mwingine pindi walipokuwa nje ya studio eneo la kuegesha magari...

Post A Comment
  • Blogger Comment using Blogger
  • Facebook Comment using Facebook
  • Disqus Comment using Disqus

No comments :


three columns

grids

health