| Nikiwa na baadhi ya wafanya kazi wa IPP |
| Jide akiwa na Prof |
| Hapa nikiteta jambo na Baby de Anth'one |
| Madishiiiiii sasa Wazaramo na Mmanyema wamekutana.....! |
| Nikisalimiana na Mkuugenzi wa IPP Media Reginald Mengi |
| Hapa nikifurahi jambo na Prof J na Dully |
| Maanjumatini sasa |
| Ready to eat.....!! |
| Picha ya Pamoja na Mkurugenzi wa IPP Media Bwana Regnald Mengi na Dully |
| Hapa Linex voice of africa akipamba Jukwaa |
| Duh! yaani nilivyopanda tu hali ya hewa ikachafuka ghafla zile shangwe na kitimtim sasa.... |
| On the stage with dully performing Utamu..... |
| Mawazo....!! |
| Tukicheza pamoja Mawazo.....!! |
| Zimepanda sasa nataka nimwage radhi....... |
| Wananchi waliokuwepo kwenye hafla pia awakutaka kukosa ukumbusho wa picha wakati nikitumbuiza jukwani... |
| Mkurugenzi wa IPP Media akiangalia kwa umakini akiandikacho mtoto mlemavu mbele ni Mhe.Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg.Mizengo Peter Pinda |
| Hapa Nikiteta jambo na Mhe.Ummy Mwalimu ,Naibu waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia & Watoto |
| Wananchi wenye Mapenzi na Diamond platnumz wakizingira gari kupiga picha....... |
| Hapa Nikifanyiwa Interview Na Eatv......., |
| Hapa Nikizungumzia uwepo wangu kwenye Hafla Hiyo....!! |

Your good man.. Take it to the next level
ReplyDeleteUlitisha sana broo
ReplyDeletenice vacation,brother... salute
ReplyDeletekwanza ulikula ndizi mbili, pili why mpaka uvue hadi chupi ionekane dimond??????????? otherwise i love u so much
ReplyDelete