NUMBER 1 REMIX:SAA 8 USIKU STUDIO WITH TUDD THOMAS,SHEDDY CLEVER NA KING MARU
Ni saa 8 za usiku baada ya kutoka kwa Chali kufanya project ya Cocacola ilinibidi niende kwa producer Tudd thomas akishirikiana na Sheddy...
| Nikitoka studio kwa Chali |
| Hakuna project inaniumiza kichwa kama hii,nikiwaza niweke nini,nipunguze nini.........!!! |
| Tudd kwa nini hii line,isipande kwa hapa mwanzo..?? |
| Mzee Maru akifanya vitu vyake |
| Kama pumzi hazikuenei..hii kitu huiwezi......!!! |
| Tudd |
| Sheddy mwenye clever zake |
| Ushirikiano ndio nguzo ya chochote kizuri..!!! |
| Kuna project ninaifanya mimi na kampuni ya vinywaji baridi, Cocacola.. unataka kujua inahusu na ina manufaa yapi kwako mtu wangu wa kweli..???stay visting |
| Huwa ninakiita chumba cha sindano..nikiingia tayari kwa ajili ya kuingiza sauti |
| Nimemalizaa......!!!!baada ya hapa naenda location nyingine kufanya kitu kingine..ukilala pesa inalala...!!!! |
| Nikiagana na Marco chiz kidogo aka Zachaaaa..pamoja na washikaji |
| Ha ha ha...!!kazi ikabaki kwake kuyameza tu......lugha za watu hizi |
| Kabla ya kuachana ,tukipanga mikakati ya nini cha kufanya baadae |
| moja ya Siraha yangu ya kuaminika kabisa ...Moze wa Iyobo |
| Showing them how we do..............!! |
| Hapa ni mwendo wa Aipooh!! tu |
| Ahsante saaanaaa watu wangu wa Dare salaam kwa sapoti |
| Ikafika time ya kuonyeshana umwamba na mtoto wa Manzese |
| Anaimba nini huyu.....??? |
| Tunawakamataga kwa michgezo ya kuringa ringa kama hiviii......!!! |
Created By paulchazzy & +255766640505 |By PAULCHAZZY