| Kuna project ninaifanya mimi na kampuni ya vinywaji baridi, Cocacola.. unataka kujua inahusu na ina manufaa yapi kwako mtu wangu wa kweli..???stay visting |
| Huwa ninakiita chumba cha sindano..nikiingia tayari kwa ajili ya kuingiza sauti |
| Nimemalizaa......!!!!baada ya hapa naenda location nyingine kufanya kitu kingine..ukilala pesa inalala...!!!! |
| Nikiagana na Marco chiz kidogo aka Zachaaaa..pamoja na washikaji |

mbona kimya ,,hamna NEWS au huko busy na penny
ReplyDelete