USIKOSE KUANGALIA KIPINDI CHA THE MBONI SHOW LEO SAA TATU USIKU EATV.....
Hapa tukiwa tumefika eneo la tukio....Nikiwa na Mose Iyobo pamoja na Romy J kwaajiri ya kurecord kipindi cha The Mboni Show Tukisalimiana na...
| Hapa tukiwa tumefika eneo la tukio....Nikiwa na Mose Iyobo pamoja na Romy J kwaajiri ya kurecord kipindi cha The Mboni Show |
| Tukisalimiana na George Tyson Director wa Kipindi cha The Mboni Show |
| Uwa najiona pasipo kumuomba Mwenyzi Mungu kabla ya kufanya chochote... Najiona siwezi kufanya vizuri wala kutimiza lengo lango. |
| Hapa Mboni Masimba akipitia baadhi ya mambo kabla ya kuanza kipindi... |
| Tukiwa kwenye kipindi... |
| Picha ya Pamoja nikiwa na Mboni & Rj |
| Baada ya show kulizika Hali ilikuwa hivi.... |
| Nikitoa shukrani kwa mashabiki wangu kwa kuniwezesha kutwaa Tunzo hiyo baada ya kupokea |
| Hapa nikifurahishwa na kustaajabu jinsi wanamombasa walivyoiitikia na kuishangilia Nataka Kulewa nilipojaribu kuiimba Chorous...... |
| Nikifanya interview na KTN moja TV Station kubwa sana Kenya, baada ya kupokea tunzo |
| Nikiwa na Mh Suleiman Shahbal Governor mtarajiwa wa nchini Kenya |
| Huyu ndio Best Presenter of the year, Mzazi William Tuva toka Citizen Tv an Radio Kenya... moja ya Mapresenter ambao wanaunyanyua sana mziki wa bongo flavor Africa |
| Na mwanangu "Kigeugeu" Jaguar.... naye ni mmoja ya wasanii ambao walipokea tunzo kwenye ghafla hiyo |
| Mnh! Moze iyobo tena..... ni kujiongeza tu |
| mnh! kunambi tena..... |
| Brian Zungu toka I-View Media akiwa na Jaguar |
| Redcarpetin kulikua hivi sasa |
| Nikiteta jambo na Keysher kabla ya kushoot... |
| Taym ya Makeup sasa.... |
| Hii ndio ilikua scene ya mwanzo kushoot... |
| Basi wadaku msije mkazua yenu tena... maana hamkawii....Video tu HIII!!! |
| Baadhi ya crew ya Next Level ikitimiza wajibu wake.... Basi mwanadada huyu anavyonishangaa navyopaka wanja...LOL! |
| Kwa mara nyingine tena mmmh! mwenzangu.... |
| Hii ni moja ya scene...tulizozishoot tukiwa ndani ya Gari |
| Hizi ndo scene nnazozipenda mie sasa za maakuli |
| Kazi na dawa...huu ulikuwa ni muda wa makulakula |
| Dumi Utamu tena... |
| Baadhi ya models walioshiriki |
| Keisha akifanya Makeup... |
| Alawi Junior & Mubenga |
Created By paulchazzy & +255766640505 |By PAULCHAZZY