| Baada ya kutia tim Dodoma,Dimpoz,Mubenga,Me & Romy Jay.... |
| Dimpoz,Mubenga & Romy.... |
| Poz kwa Poz ni Mateja,Dimpoz,Mubenga,Me,Romy...... |
| Dimpoz & Mubenga |
| Ben Pol baada ya kufika kwenye kituo hicho |
| Baba Johniii akiskiliza jambo kwa umakini |
| AT,Dayna & Joh Makini |
| Nature,Aunt & Mchomvu |
| Baba Ayana ndio alikuwa mwakilishi wetu meza kuu |
| Mkuu wa Wialaya Dodoma mjini, akiwakalibisha wasanii kwenye kituo hicho |
| hapa nikifatilia kwa umakini.... |
| Aunt nae,yuko makini Mmmmmh! |
| JB & Hatman |
| Baada ya kukaribishwa,zoezi lililofata nikwenda kuwatembelea Watoto hao.... |
| Hapa Dimpoz akimtania kitu Juma Nature |
| Hapa Shetta & Mkuu wa Wilaya wakiteta jambo... |
| huyu ni mmoja kati ya zaidi ya watoto 180 wanaolelewa kwenye kituo hicho.... |
| awwwwwwwwwww.... he's so sweet Maskini.. |
| Joh Makin |
| Hawa ni baadhi ya wadogo zetu tulio kwenda kuwatembelea |
| Dah! dat 'was a serious Moment...... |
| Kila mtu alikua Mnyonge mwenye huzuni na maskitiko tele... |
| Ikabidi tuwaimbie kidogo wafrahi |
| Maandalizi ya kukabidhi kidogo tulichojaaliwa uliwadia.... |
| Tulipata nafasi pia ya kupiga picha na wadogo zetu..... |
| Hakika tuliwafanya wajiskie raha na burudani... |
| Wenye kuimba waliimba, wenye kucheza walicheza.... hakika walifurahi kukutana na wasanii wao wanaowapenda |
| Haya sasa Mateja na wewe leo nikuandikeeeeeeeeeeeee......??? |
| Uzalendo ulinishinda,nami ikanibidi niwe Camera Man kwa muda... |
| Baada ya kumaliza zoezi zima tulirudi kwenye serengeti fiesta bus tour ili kuelekea hotelini na kujiandaa na show ya usiku wake.... |

safi sana mlifanya vyema kuwatembelea hao watoto. big up.
ReplyDelete