Licha ya kumthamini kama shilingi lakini bahati sina.....
Watoto wa kike ukipiga uno wanafuraaaaahiiii
Nimpende nani Eeeeh!?
 |
| Achia basi mkwanja fasta,usinifanyie hivyo jaman.... |
 |
| Noti zikimiminika kwenye jukwaa la Platnumz...... |
 |
| JB akimimina pesa huku me nalia na moyo wangu..... |
 |
| Ila watu wa moshi walitisha sana kwa kutunza... |
 |
| Vijana wangu bwana wanakuaga fasta kwenye kuchkua mpunga show tukimaliza show |
 |
| Hii ndio rum niliofiokia |
 |
| Hapa nikiwa kwa bed na PING!!! PING!!! na watu wangu wa town nikiskilizia tym za show zifike nikakinukishe |
 |
| Babu eeeh kaz na dawa |
 |
Timu nzima ya Bongo Movie haikuwa nyuma ikiongozwa na JB.... Miguu ya bia sasa pale kati Mmmmmh! Wakubwa wanafaidi |
 |
| Irene Uwoya akitoa shavu kwa Mashabiki,alipendeza eeeeh!? |
 |
| Snura akitema cheche kwa raia.......Nyerere pembeni kama anamtamani hiv |
 |
| Rich Rich kama kawa hakukosa.... |
 |
| Steve Nyerere akimkaribisha JB kusema na FANS...... |
 |
| Steve Nyerere akimkaribisha Ray Kigosi Jukwaani |
 |
| Haka kajamaa bwana kana makeke sana yaani nikimuonaga tu lazma nicheke |
 |
| Mc alikua ni Masanja Mkandamizaji |
 |
| mnh! Masanja huu uMC wako sasa umezidi.. |
WEMA NA IRENE WAMEPENDEZA SANA, MASANJA ALIKUW ANAMUAMBIA NINI WEMA HAPO
ReplyDeleteSafi kijana, kazi nzuri na hongera kwa kuanzisha Website yako.
ReplyDelete